Isaya 45:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Kwa maana Yehova,Muumbaji wa mbingu,+ Mungu wa kweli,Mwenye alifanya dunia, Mutengenezaji wake mwenye aliifanya imara kabisa,+Mwenye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliifanya ili ikaliwe na watu, anasema hivi:+ “Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine. Matayo 5:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 “Wenye furaha ni wale wenye tabia ya upole,+ kwa sababu watariti dunia.+ Ufunuo 21:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Halafu nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Angalia! Hema ya Mungu iko pamoja na wanadamu, na atakaa pamoja nao, na watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+
18 Kwa maana Yehova,Muumbaji wa mbingu,+ Mungu wa kweli,Mwenye alifanya dunia, Mutengenezaji wake mwenye aliifanya imara kabisa,+Mwenye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliifanya ili ikaliwe na watu, anasema hivi:+ “Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine.
3 Halafu nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Angalia! Hema ya Mungu iko pamoja na wanadamu, na atakaa pamoja nao, na watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+