Zaburi 72:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Katika siku zake mwenye haki atasitawi,*+Na amani itakuwa nyingi+ mupaka wakati mwezi utakuwa hauko tena. Zaburi 119:165 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 165 Wale wenye kupenda sheria yako wako na amani nyingi;+Hakuna kitu chochote chenye kinaweza kuwafanya wajikwae.* Isaya 48:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Kama tu ungesikiliza amri zangu!+ Basi amani yako ingekuwa kama vile muto+Na haki yako kama mawimbi ya bahari.+
7 Katika siku zake mwenye haki atasitawi,*+Na amani itakuwa nyingi+ mupaka wakati mwezi utakuwa hauko tena.
165 Wale wenye kupenda sheria yako wako na amani nyingi;+Hakuna kitu chochote chenye kinaweza kuwafanya wajikwae.*
18 Kama tu ungesikiliza amri zangu!+ Basi amani yako ingekuwa kama vile muto+Na haki yako kama mawimbi ya bahari.+