-
Ufunuo 21:3, 4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Halafu nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Angalia! Hema ya Mungu iko pamoja na wanadamu, na atakaa pamoja nao, na watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+ 4 Na atapanguza kila chozi katika macho yao,+ na kifo hakitakuwa tena,+ wala maombolezo wala kilio wala maumivu havitakuwa tena.+ Mambo ya zamani yamepita kabisa.”
-