Zaburi 52:5, 6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Ndiyo sababu Mungu atakubomoa milele na milele;+Atakukamata haraka na kukupasua kutoka katika hema yako;+Atakungoa kutoka katika inchi ya wazima.+ (Sela) 6 Wenye haki wataona jambo hilo na kujaa woga mukubwa,+Na watamucheka.+
5 Ndiyo sababu Mungu atakubomoa milele na milele;+Atakukamata haraka na kukupasua kutoka katika hema yako;+Atakungoa kutoka katika inchi ya wazima.+ (Sela) 6 Wenye haki wataona jambo hilo na kujaa woga mukubwa,+Na watamucheka.+