2 Samweli 16:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kisha Daudi akamuambia Abishai na watumishi wake wote: “Ikiwa mwana wangu mwenyewe, mwenye alitoka katika mwili wangu, iko* anatafuta uzima wangu,*+ basi Mubenyamini atafanya zaidi!+ Mumuache anilaani, kwa maana Yehova alimuambia afanye vile!
11 Kisha Daudi akamuambia Abishai na watumishi wake wote: “Ikiwa mwana wangu mwenyewe, mwenye alitoka katika mwili wangu, iko* anatafuta uzima wangu,*+ basi Mubenyamini atafanya zaidi!+ Mumuache anilaani, kwa maana Yehova alimuambia afanye vile!