2 Samweli 16:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Pengine Yehova ataona mateso yangu,+ na Yehova atanirudishia wema pa nafasi ya laana zenye nililaaniwa kwa sauti kubwa leo.”+ Zaburi 123:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kama vile macho ya watumishi yanaangalia mukono wa bwana wao,Na macho ya mutumishi mwanamuke yanaangalia mukono wa bimukubwa wake,Ni vile macho yetu yanamuangalia Yehova Mungu wetu+Mupaka wakati atatuonyesha wema.+
12 Pengine Yehova ataona mateso yangu,+ na Yehova atanirudishia wema pa nafasi ya laana zenye nililaaniwa kwa sauti kubwa leo.”+
2 Kama vile macho ya watumishi yanaangalia mukono wa bwana wao,Na macho ya mutumishi mwanamuke yanaangalia mukono wa bimukubwa wake,Ni vile macho yetu yanamuangalia Yehova Mungu wetu+Mupaka wakati atatuonyesha wema.+