Zaburi 37:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Sheria ya Mungu wake iko katika moyo wake;+Hatua zake hazitayumba-yumba.+ Waroma 7:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kwa kweli ninapenda sheria ya Mungu kulingana na mutu mwenye niko kwa ndani,+