-
Danieli 7:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 “Nikaendelea kuangalia mupaka viti vya ufalme vikawekwa na Muzee wa Siku+ akakaa.+ Nguo zake zilikuwa nyeupe kama teluji,+ na nywele za kichwa chake zilikuwa kama manyoya safi ya kondoo. Kiti chake cha ufalme kilikuwa miali ya moto; magurudumu* yake yalikuwa moto wenye kuwaka.+ 10 Muto mudogo wa moto ulikuwa unatiririka na kutoka mbele yake.+ Maelfu elfu waliendelea kumutumikia, na elfu kumi mara elfu kumi walisimama mbele yake.+ Tribinali+ ikakaa, na vitabu vikafunguliwa.
-
-
Waebrania 12:29Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
29 Kwa maana Mungu wetu ni moto wenye kuteketeza.+
-