Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Mulima Sinai ulitoa moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa unapanda kama moshi wa tanuru, na mulima wote ulitetemeka kwa nguvu.+

  • Danieli 7:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 “Nikaendelea kuangalia mupaka viti vya ufalme vikawekwa na Muzee wa Siku+ akakaa.+ Nguo zake zilikuwa nyeupe kama teluji,+ na nywele za kichwa chake zilikuwa kama manyoya safi ya kondoo. Kiti chake cha ufalme kilikuwa miali ya moto; magurudumu* yake yalikuwa moto wenye kuwaka.+ 10 Muto mudogo wa moto ulikuwa unatiririka na kutoka mbele yake.+ Maelfu elfu waliendelea kumutumikia, na elfu kumi mara elfu kumi walisimama mbele yake.+ Tribinali+ ikakaa, na vitabu vikafunguliwa.

  • Waebrania 12:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Kwa maana Mungu wetu ni moto wenye kuteketeza.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine