-
Mika 6:6-8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Nitakuja na nini mbele ya Yehova?
Nitainama na nini mbele ya Mungu mwenye kuwa juu?
Je, nikuje mbele yake na matoleo mazima ya kuteketezwa,
Na vitoto-dume vya ngombe vya mwaka mumoja?+
7 Je, Yehova atafurahia maelfu ya kondoo-dume,
Na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+
Je, nitoe mwana wangu muzaliwa wa kwanza kwa ajili ya uasi wangu,
8 Ee mwanadamu, amekuambia mambo mema.
Na Yehova anataka* ufanye nini?
-