Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mika 6:6-8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Nitakuja na nini mbele ya Yehova?

      Nitainama na nini mbele ya Mungu mwenye kuwa juu?

      Je, nikuje mbele yake na matoleo mazima ya kuteketezwa,

      Na vitoto-dume vya ngombe vya mwaka mumoja?+

       7 Je, Yehova atafurahia maelfu ya kondoo-dume,

      Na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+

      Je, nitoe mwana wangu muzaliwa wa kwanza kwa ajili ya uasi wangu,

      Uzao wa tumbo langu kwa ajili ya zambi yangu?*+

       8 Ee mwanadamu, amekuambia mambo mema.

      Na Yehova anataka* ufanye nini?

      Anataka tu utende haki,*+ upende ushikamanifu,*+

      Na utembee kwa kiasi+ pamoja na Mungu wako!+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine