Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Musiweke tegemeo lenu katika maneno ya udanganyifu na kusema, ‘Hili ni* hekalu la Yehova, hekalu la Yehova, hekalu la Yehova!’+

  • Matayo 7:22, 23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Wengi wataniambia siku hiyo: ‘Bwana, Bwana,+ je, hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza pepo wachafu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+ 23 Halafu nitawaambia: ‘Sikuwajua ninyi hata kidogo! Mutoke mbele yangu, ninyi wenye matendo ya kuvunja sheria!’+

  • Waroma 2:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 sasa, je, wewe mwenye unamufundisha mutu mwingine, haujifundishe wewe mwenyewe?+ Wewe mwenye unahubiri, “Usiibe,”+ je, unaiba?

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine