20 Wakati nitawaleta katika inchi yenye niliapia mababu zao+—inchi yenye kutiririka maziwa na asali+—na wakule na kushiba na kufanikiwa,*+ watageukia miungu mingine na kuitumikia na kunikosea heshima na kuvunja agano langu.+
9 Halitakuwa kama lile agano lenye nilifanya pamoja na mababu zao ile siku yenye nilishika mukono wao ili kuwaongoza kutoka katika inchi ya Misri,+ kwa sababu hawakubakia katika agano langu, basi nikaacha kuwahangaikia,’ ni vile Yehova* anasema.