Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 “Lakini, hawakutii na walikuasi+ na waligeuzia Sheria yako mugongo wao.* Waliua manabii wako wenye waliwaonya ili wawarudishe kwako, na walitenda matendo makubwa ya kukosa heshima.+

  • Isaya 5:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kwa hiyo, kama vile mwali wa moto unateketeza majani ya kukauka

      Na kama vile majani ya kukauka yanajikunja katika miali ya moto,

      Mizizi yao itaoza,

      Na maua yao yatasambaa kama unga,

      Kwa sababu walikataa sheria ya* Yehova wa majeshi,

      Na walizarau neno la Mutakatifu wa Israeli.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine