Isaya 1:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 “Sasa, mukuje, tunyooshe mambo kati yetu,” ni vile Yehova anasema.+ “Hata kama zambi zenu ziko na rangi nyekundu yenye kungaa,Zitafanywa kuwa nyeupe kama teluji;*+Hata kama ziko nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama manyoya ya kondoo. 1 Wakorinto 6:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Na bado wengine wenu mulikuwa vile. Lakini mumesafishwa mukakuwa safi:+ mumetakaswa;+ mumetangazwa kuwa wenye haki+ katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa roho ya Mungu wetu.
18 “Sasa, mukuje, tunyooshe mambo kati yetu,” ni vile Yehova anasema.+ “Hata kama zambi zenu ziko na rangi nyekundu yenye kungaa,Zitafanywa kuwa nyeupe kama teluji;*+Hata kama ziko nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama manyoya ya kondoo.
11 Na bado wengine wenu mulikuwa vile. Lakini mumesafishwa mukakuwa safi:+ mumetakaswa;+ mumetangazwa kuwa wenye haki+ katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa roho ya Mungu wetu.