Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 9:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kwa maana kama damu ya mbuzi na ya ngombe-dume+ na majivu ya kitoto-dike cha ngombe yenye yananyunyizwa* juu ya wale wenye wametiwa uchafu yanatakasa ili kusafisha mwili,+ 14 je, damu ya Kristo,+ mwenye kupitia roho yenye inadumu milele alijitoa yeye mwenyewe kwa Mungu bila kasoro, haitasafisha hata zaidi zamiri zetu kutoka katika matendo yenye yalikufa+ ili tumutolee Mungu mwenye kuishi utumishi mutakatifu?+

  • 1 Yohana 1:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Hata hivyo, kama tuko tunatembea katika mwangaza kama vile yeye mwenyewe iko* katika mwangaza, tuko katika umoja mumoja na mwingine, na damu ya Yesu Mwana wake inatusafisha kutoka katika zambi yote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine