Zaburi 32:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Mwishowe niliungama zambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Na ulisamehe kosa la zambi zangu.+ (Sela) Zaburi 40:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Misiba yenye kunizunguka ni mingi sana haiwezi kuhesabika.+ Makosa yangu mengi yananilemea kiasi ya kwamba siwezi kuona njia yangu;+Ni mengi sana kuliko nywele za kichwa changu,Na nimevunjika moyo.
5 Mwishowe niliungama zambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Na ulisamehe kosa la zambi zangu.+ (Sela)
12 Misiba yenye kunizunguka ni mingi sana haiwezi kuhesabika.+ Makosa yangu mengi yananilemea kiasi ya kwamba siwezi kuona njia yangu;+Ni mengi sana kuliko nywele za kichwa changu,Na nimevunjika moyo.