Mwanzo 39:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Hakuna mwenye kuwa mukubwa zaidi kuliko mimi katika nyumba hii, na bwana wangu hakunikataza kitu chochote isipokuwa wewe, kwa sababu wewe uko bibi yake. Kwa hiyo ninaweza namna gani kufanya ubaya huu mukubwa na kwa kweli nimutendee Mungu zambi?”+ 2 Samweli 12:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Basi Daudi akamuambia Natani: “Nimemutendea Yehova zambi.”+ Natani akamujibu Daudi: “Yehova naye amesamehe zambi yako.*+ Hautakufa.+
9 Hakuna mwenye kuwa mukubwa zaidi kuliko mimi katika nyumba hii, na bwana wangu hakunikataza kitu chochote isipokuwa wewe, kwa sababu wewe uko bibi yake. Kwa hiyo ninaweza namna gani kufanya ubaya huu mukubwa na kwa kweli nimutendee Mungu zambi?”+
13 Basi Daudi akamuambia Natani: “Nimemutendea Yehova zambi.”+ Natani akamujibu Daudi: “Yehova naye amesamehe zambi yako.*+ Hautakufa.+