2 Samweli 12:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Sababu gani ulizarau neno la Yehova kwa kutenda mambo ya mubaya mbele ya macho yake? Ulimupiga na kumuua Uria Muhiti kwa upanga!+ Kisha ukachukua bibi yake ili akuwe bibi yako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+ Zaburi 38:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Niliungama kosa langu;+Nilisumbuliwa na zambi yangu.+
9 Sababu gani ulizarau neno la Yehova kwa kutenda mambo ya mubaya mbele ya macho yake? Ulimupiga na kumuua Uria Muhiti kwa upanga!+ Kisha ukachukua bibi yake ili akuwe bibi yako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+