15 Kwa maana ule Mwenye Kuwa Juu na Mwenye Kuinuka Sana,
Mwenye anaishi milele+ na mwenye jina lake ni takatifu,+ anasema hivi:
“Ninaishi mahali kwenye kuinuka na patakatifu,+
Lakini pia pamoja na wale wenye kupondwa na wenye roho ya unyenyekevu,
Ili kupatia uzima roho ya watu wa hali ya chini
Na kupatia uzima moyo wa wale wenye kupondwa.+