Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 6:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  2 Unionyeshe wema,* Ee Yehova, kwa maana ninakuwa muzaifu.

      Uniponyeshe, Ee Yehova,+ kwa maana mifupa yangu inatetemeka.

  • Zaburi 38:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Mwili wangu wote ni mugonjwa* kwa sababu ya kasirani yako kali.

      Hakuna amani ndani ya mifupa yangu kwa sababu ya zambi yangu.+

  • Isaya 57:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kwa maana ule Mwenye Kuwa Juu na Mwenye Kuinuka Sana,

      Mwenye anaishi* milele+ na mwenye jina lake ni takatifu,+ anasema hivi:

      “Ninaishi mahali kwenye kuinuka na patakatifu,+

      Lakini pia pamoja na wale wenye kupondwa na wenye roho ya unyenyekevu,

      Ili kupatia uzima roho ya watu wa hali ya chini

      Na kupatia uzima moyo wa wale wenye kupondwa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine