3 Na akawasomea kwa sauti kubwa+ Sheria hiyo wanaume, wanamuke, na wote wenye wangeweza kuelewa, katika kiwanja cha watu wote chenye kilikuwa mbele ya Mulango Mukubwa wa Maji, kuanzia asubui sana mupaka katikati ya muchana; na watu wakasikiliza kwa uangalifu+ kitabu cha Sheria.