Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 8:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Na akawasomea kwa sauti kubwa+ Sheria hiyo wanaume, wanamuke, na wote wenye wangeweza kuelewa, katika kiwanja cha watu wote chenye kilikuwa mbele ya Mulango Mukubwa wa Maji, kuanzia asubui sana mupaka katikati ya muchana; na watu wakasikiliza kwa uangalifu+ kitabu cha Sheria.

  • Nehemia 8:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Na wakaendelea kusoma kwa sauti kubwa katika kile kitabu, katika Sheria ya Mungu wa kweli, wakaifasiria waziwazi na kueleza maana yake; kwa hiyo wakasaidia watu kuelewa mambo yenye yalikuwa yanasomwa.*+

  • Mezali 9:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Kumuogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+

      Na kumujua Mwenye Kuwa Mutakatifu Zaidi+ ni uelewaji.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine