23 Na mbegu yenye ilipandwa kwenye udongo muzuri, huyo ndiye mutu mwenye anasikia neno na kulielewa, mwenye kwa kweli anazaa matunda na kutoa, huyu mara mia moja (100), ule makumi sita (60), na ule mwingine makumi tatu (30).”+
14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, wale wenye kwa kutumia nguvu zao za utambuzi* wamezizoeza kufanya tofauti kati ya mambo yenye kuwa sawa na yenye kuwa makosa.