Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Mungu wa Israeli alisema;

      Mwamba wa Israeli+ aliniambia:

      ‘Wakati ule mwenye kutawala wanadamu ni mwenye haki,+

      Na kutawala katika woga wa Mungu,+

       4 Ni kama mwangaza wa asubui wakati jua linaangaza,+

      Asubui yenye haina mawingu.

      Ni kama kungaa kisha mvua kunyesha,

      Kunafanya majani yaote kutoka katika udongo.’+

  • Zaburi 119:105
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 105 Neno lako ni taa ya muguu wangu,

      Na mwangaza wa njia yangu.+

  • 1 Wakorinto 13:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Kwa maana sasa tunaona kwa njia yenye haiko ya waziwazi kupitia kioo cha metali, lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso. Kwa sasa ninajua kwa sehemu tu, lakini wakati huo nitajua kwa njia yenye haina makosa,* kama vile ninajulikana kwa njia yenye haina makosa.

  • 2 Wakorinto 4:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Kwa maana Mungu ndiye alisema: “Mwangaza uangaze kutoka katika giza,”+ na ameangazia mioyo yetu ili kuitolea mwangaza+ kwa ujuzi wenye utukufu wa Mungu kupitia uso wa Kristo.

  • 2 Petro 1:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Basi tuko na neno la kiunabii lenye limefanywa kuwa hakika zaidi, na munafanya muzuri kulikazia uangalifu kama taa+ yenye kuangaza mahali kwenye kuko giza (mupaka mapambazuko* na nyota ya asubui+ itokee) katika mioyo yenu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine