12 Kwa maana sasa tunaona kwa njia yenye haiko ya waziwazi kupitia kioo cha metali, lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso. Kwa sasa ninajua kwa sehemu tu, lakini wakati huo nitajua kwa njia yenye haina makosa,* kama vile ninajulikana kwa njia yenye haina makosa.
6 Kwa maana Mungu ndiye alisema: “Mwangaza uangaze kutoka katika giza,”+ na ameangazia mioyo yetu ili kuitolea mwangaza+ kwa ujuzi wenye utukufu wa Mungu kupitia uso wa Kristo.
19 Basi tuko na neno la kiunabii lenye limefanywa kuwa hakika zaidi, na munafanya muzuri kulikazia uangalifu kama taa+ yenye kuangaza mahali kwenye kuko giza (mupaka mapambazuko* na nyota ya asubui+ itokee) katika mioyo yenu.