Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 17:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Moyo ni mudanganyifu kuliko kitu kingine chochote na uko hatari.*+

      Ni nani anaweza kuujua?

  • Marko 7:21-23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Kwa maana ndani ya watu, katika mioyo yao,+ munatoka mawazo ya mubaya: uasherati,* wizi, mauaji, 22 matendo ya uzinifu, pupa, matendo ya uovu, udanganyifu, mwenendo mupotovu wa bila haya,* jicho lenye wivu, matukano juu ya Mungu, majivuno, na upumbavu. 23 Mambo hayo yote maovu yanatoka ndani na yanachafua mutu.”

  • Waefeso 6:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Kwa hiyo, musimame imara, mukiwa mumejifunga kwenye kiuno mukaba* wa ile kweli,+ mukiwa mumevaa bamba la kifua la haki,+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine