Kumbukumbu la Torati 12:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Unapaswa kutenda kwa uangalifu kila neno lenye ninakuamuru.+ Haupaswe kuongeza kitu juu yake wala kuondoa kitu juu yake.+ Yoshua 1:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 “Ila tu ukuwe hodari na mwenye nguvu sana, na ufuate kwa uangalifu Sheria yote yenye Musa mutumishi wangu alikuamuru. Usiiache kwa kuenda kuume wala kushoto,+ ili utende kwa hekima kila mahali kwenye unaenda.+
32 Unapaswa kutenda kwa uangalifu kila neno lenye ninakuamuru.+ Haupaswe kuongeza kitu juu yake wala kuondoa kitu juu yake.+
7 “Ila tu ukuwe hodari na mwenye nguvu sana, na ufuate kwa uangalifu Sheria yote yenye Musa mutumishi wangu alikuamuru. Usiiache kwa kuenda kuume wala kushoto,+ ili utende kwa hekima kila mahali kwenye unaenda.+