6 Maneno haya yenye ninakuamuru leo yanapaswa kuwa kwenye moyo wako, 7 na unapaswa kuyakazia katika* wana wako+ na kuongea kuyahusu wakati unakaa katika nyumba yako na wakati unatembea katika barabara na wakati unalala na wakati unaamuka.+
9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wanatutia nizamu, na tuliwapatia heshima. Je, hatupaswe kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+