Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:7, 8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kisha mambo hayo, bibi ya bwana wake akaanza kumuangalia na kumutamani sana Yosefu na kusema: “Lala na mimi.” 8 Lakini akakataa na kumuambia bibi ya bwana wake: “Angalia, bwana wangu haangaikie kile ninafanya katika nyumba hii, na ameweka vitu vyake vyote katika mikono yangu.

  • Kumbukumbu la Torati 13:6-8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 “Kama ndugu yako, mutoto mwanaume wa mama yako, ao mutoto wako mwanaume ao mutoto wako mwanamuke ao bibi yako mwenye unapenda ao rafiki yako wa karibu sana* anajaribu kukushawishi kwa uficho, na kusema, ‘Tuende na tutumikie miungu mingine,’+ miungu yenye wewe wala mababu zako hawakujua, 7 kati ya miungu ya vikundi vya watu vyenye kuwazunguka pande zote, ikuwe karibu na ninyi ao mbali na ninyi, kuanzia mwisho mumoja wa inchi mupaka mwisho mwingine wa inchi, 8 haupaswe kukubali ushawishi wake wala kumusikiliza,+ wala usimusikitikie wala kumusikilia huruma wala kumulinda;

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine