Zaburi 33:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa neno la Yehova mbingu zilifanywa,+Na kwa roho* ya kinywa chake kila kitu chenye kuwa katika mbingu kilifanywa.* Yeremia 10:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Yeye ndiye Mutengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,Ule mwenye alifanya imara inchi yenye kuzaa kwa hekima yake+Na mwenye alitandika mbingu kwa uelewaji wake.+
6 Kwa neno la Yehova mbingu zilifanywa,+Na kwa roho* ya kinywa chake kila kitu chenye kuwa katika mbingu kilifanywa.*
12 Yeye ndiye Mutengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,Ule mwenye alifanya imara inchi yenye kuzaa kwa hekima yake+Na mwenye alitandika mbingu kwa uelewaji wake.+