Mwanzo 1:6, 7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kisha Mungu akasema: “Anga+ likuwe katikati ya maji, na kukuwe mugawanyiko kati ya maji na maji.”+ 7 Kisha Mungu akafanya anga na kutenganisha maji yenye kuwa chini ya anga na maji yenye kuwa juu ya anga.+ Na ikakuwa vile. Yobu 26:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Anachora mwisho* kwenye uso wa maji;+Anaweka mupaka kati ya mwangaza na giza.
6 Kisha Mungu akasema: “Anga+ likuwe katikati ya maji, na kukuwe mugawanyiko kati ya maji na maji.”+ 7 Kisha Mungu akafanya anga na kutenganisha maji yenye kuwa chini ya anga na maji yenye kuwa juu ya anga.+ Na ikakuwa vile.