Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mezali 3:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Mwana wangu, usikatae nizamu ya Yehova,+

      Na usichukie karipio lake,+

  • Mezali 4:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Shika kabisa nizamu; usiiache.+

      Uilinde, kwa maana ni uzima wako.+

  • Waebrania 12:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Muko na lazima ya kuvumilia kama sehemu ya nizamu* yenu. Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani mwenye hatiwe nizamu na baba yake?+

  • Waebrania 12:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wanatutia nizamu, na tuliwapatia heshima. Je, hatupaswe kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine