-
Kumbukumbu la Torati 6:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 “Sasa hizi ni amri, masharti, na maamuzi ya hukumu yenye Yehova Mungu wenu ametoa ili kuwafundisha, ili muvishike wakati munavuka kuingia katika inchi yenye mutariti, 2 ili umuogope Yehova Mungu wako na kushika sheria zake zote na amri zake zenye ninakuamuru—wewe na mwana wako na mujukuu wako+—siku zote za maisha yako, ili uishi wakati murefu.+
-