Mezali 5:12, 13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Na utasema: “Nilichukia sana nizamu! Moyo wangu ulizarau sana karipio! 13 Sikusikiliza sauti ya wafundishaji wanguWala kusikiliza kwa uangalifu walimu wangu. Yohana 3:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Kwa maana kila mutu mwenye anazoea kutenda mambo maovu anachukia mwangaza na hakuje kwenye mwangaza, ili matendo yake yasikaripiwe.*
12 Na utasema: “Nilichukia sana nizamu! Moyo wangu ulizarau sana karipio! 13 Sikusikiliza sauti ya wafundishaji wanguWala kusikiliza kwa uangalifu walimu wangu.
20 Kwa maana kila mutu mwenye anazoea kutenda mambo maovu anachukia mwangaza na hakuje kwenye mwangaza, ili matendo yake yasikaripiwe.*