-
Esta 7:3, 4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Malkia Esta akajibu: “Kama umenikubali, Ee mufalme, na kama inamupendeza mufalme, ninataka nipewe uzima wangu,* na ninaomba nipewe watu wangu.+ 4 Kwa maana tumeuzishwa,+ mimi na watu wangu, ili tuangamizwe, tuuawe na kuharibiwa.+ Kama tu tungeuzishwa tukuwe watumwa wanaume na wanamuke, ningenyamaza. Lakini musiba huu haufae, kwa maana utaletea mufalme upotevu.”
-
-
Mezali 14:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Fimbo ya kiburi iko katika kinywa cha mupumbavu,
Lakini midomo ya wenye hekima itawalinda.
-