-
2 Wafalme 6:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Wakati mutumishi wa mutu wa Mungu wa kweli aliamuka asubui sana na kuenda inje, aliona kwamba jeshi lenye farasi na magari ya vita lilikuwa limezunguka muji. Mara moja mutumishi huyo akamuambia: “Ole, bwana wangu! Tutafanya nini?” 16 Lakini akasema: “Usiogope!+ Kwa maana wale wenye kuwa pamoja na sisi ni wengi kuliko wale wenye kuwa pamoja nao.”+
-