Zaburi 91:9, 10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,”Umemufanya Mwenye Kuwa Juu Zaidi kuwa makao yako;*+10 Hakuna musiba wenye utakufikia,+Na hakuna pigo lenye litakaribia hema yako.
9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,”Umemufanya Mwenye Kuwa Juu Zaidi kuwa makao yako;*+10 Hakuna musiba wenye utakufikia,+Na hakuna pigo lenye litakaribia hema yako.