-
Yobu 28:15-18Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Haiwezi kununuliwa kwa zahabu safi;
Wala feza haiwezi kupimwa kuwa bei yake.+
16 Haiwezi kununuliwa kwa zahabu ya Ofiri+
Wala kwa majiwe ya shohamu na yakuti yenye kuwa vigumu kupatikana.
17 Zahabu na kioo haviwezi kulinganishwa nayo;
Wala chombo chochote cha zahabu safi* hakiwezi kubadilishwa nayo.+
18 Marijani na fuwele havistahili kutajwa,+
Kwa maana mufuko wenye kujaa hekima ni wenye samani kubwa kuliko mufuko wenye kujaa lulu.
-