Yobu 28:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Na alimuambia mwanadamu: ‘Angalia! Kumuogopa Yehova—ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+ Mezali 8:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Kumuogopa Yehova kunamaanisha kuchukia ubaya.+ Ninachukia kujiinua na kiburi+ na njia ya uovu na maneno yenye kupotoka.+ Yeremia 32:40 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 40 Na nitafanya agano la milele pamoja nao,+ kwamba sitageuka na kuacha kuwatendea mema;+ na nitatia woga wangu katika mioyo yao, na hivyo hawatageuka na kuniacha.+
28 Na alimuambia mwanadamu: ‘Angalia! Kumuogopa Yehova—ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+
13 Kumuogopa Yehova kunamaanisha kuchukia ubaya.+ Ninachukia kujiinua na kiburi+ na njia ya uovu na maneno yenye kupotoka.+
40 Na nitafanya agano la milele pamoja nao,+ kwamba sitageuka na kuacha kuwatendea mema;+ na nitatia woga wangu katika mioyo yao, na hivyo hawatageuka na kuniacha.+