Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 12:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Huu ndio mwisho wa jambo, mambo yote yamekwisha kusikiwa: Ogopa Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana hilo ndilo jambo lote lenye mwanadamu anapaswa kufanya.+

  • Mika 6:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Ee mwanadamu, amekuambia mambo mema.

      Na Yehova anataka* ufanye nini?

      Anataka tu utende haki,*+ upende ushikamanifu,*+

      Na utembee kwa kiasi+ pamoja na Mungu wako!+

  • Matayo 22:37-40
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 37 Akamuambia: “‘Unapaswa kumupenda Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote na kwa akili yako yote.’+ 38 Hii ndiyo amri kubwa zaidi na ya kwanza. 39 Ya pili kama hiyo, ni hii, ‘Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ 40 Sheria yote na Manabii vinategemea amri hizo mbili.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine