Mambo ya Walawi 19:36 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 36 Munapaswa kutumia mizani* yenye kuwa sawa, vipimo vyenye kuwa sawa, kipimo chenye kuwa sawa cha vitu vyenye kukauka,* na kipimo chenye kuwa sawa cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, mwenye aliwatosha katika inchi ya Misri. Mezali 11:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Mizani* za uongo* ni chukizo kwa Yehova,Lakini kipimo chenye kuwa sawa* kinamufurahisha.+
36 Munapaswa kutumia mizani* yenye kuwa sawa, vipimo vyenye kuwa sawa, kipimo chenye kuwa sawa cha vitu vyenye kukauka,* na kipimo chenye kuwa sawa cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, mwenye aliwatosha katika inchi ya Misri.