Mezali 29:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Wakati mufalme anahukumu maskini kwa haki,+Kiti chake cha ufalme kitakuwa salama sikuzote.+ Ufunuo 19:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Nikaona mbingu imefunguliwa, na angalia! farasi mweupe.+ Na ule mwenye kukaa juu yake anaitwa Muaminifu+ na wa Kweli,+ na anahukumu na kupigana vita ya haki.+
11 Nikaona mbingu imefunguliwa, na angalia! farasi mweupe.+ Na ule mwenye kukaa juu yake anaitwa Muaminifu+ na wa Kweli,+ na anahukumu na kupigana vita ya haki.+