-
Danieli 4:30-32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 Mufalme alikuwa anasema: “Je, hii haiko Babiloni Mukubwa muji wenye mimi mwenyewe nimejenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu na uwezo wangu mwenyewe na kwa ajili ya utukufu wa ukubwa wangu?”
31 Wakati neno lilikuwa lingali katika kinywa cha mufalme, sauti ikashuka kutoka mbinguni: “Unaambiwa hivi, Ee Mufalme Nebukadneza, ‘Ufalme umeondoka kutoka kwako,+ 32 na unafukuzwa mbali na wanadamu. Makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa pori, na utapewa majani ukule kama vile ngombe-dume, na nyakati saba (7) zitapita juu yako, mupaka wakati utajua kama Mwenye Kuwa Juu Zaidi ni Mutawala katika ufalme wa wanadamu na kama anaupatia mutu yeyote mwenye anataka.’”+
-