Mezali 14:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Mutu mwenye hakasirike haraka iko* na utambuzi mwingi,+Lakini mwenye hana uvumilivu anaonyesha upumbavu wake.+ Yakobo 1:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Mujue jambo hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mutu anapaswa kuwa mwepesi wa kusikiliza, hapana mwepesi wa kusema,+ hapana mwepesi wa kukasirika,+
29 Mutu mwenye hakasirike haraka iko* na utambuzi mwingi,+Lakini mwenye hana uvumilivu anaonyesha upumbavu wake.+
19 Mujue jambo hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mutu anapaswa kuwa mwepesi wa kusikiliza, hapana mwepesi wa kusema,+ hapana mwepesi wa kukasirika,+