-
2 Samweli 16:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Wakati Daudi alikuwa amepita kidogo kile kichwa cha mulima,+ Siba+ mutumishi wa Mefibosheti,+ alikuwa pale ili kumupokea; alikuwa na punda wawili wenye matandiko, na juu yao kulikuwa mikate mia mbili (200), keki mia moja (100) za zabibu, keki mia moja za matunda ya kipindi cha joto,* na mutungi mukubwa wa divai.+
-