-
2 Samweli 18:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kisha watumishi kumi (10) wenye walibeba silaha za Yoabu wakakuja na kumupiga Absalomu mupaka akakufa.+
-
-
2 Samweli 20:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Mara moja mwanamuke huyo mwenye hekima akaenda kuzungumuza na watu wote, nao wakakata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kukitupia Yoabu. Basi Yoabu akapiga baragumu, nao wakasambaa kutoka kwenye muji huo, kila mumoja akaenda kwenye nyumba yake;+ na Yoabu akarudia Yerusalemu kwa mufalme.
-