Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:2-4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Absalomu alikuwa anaamuka asubui sana na kusimama pembeni ya barabara yenye inaenda kwenye mulango mukubwa wa muji.+ Kila mara wakati mutu fulani alikuwa na kesi ya hukumu yenye ilipaswa kupelekwa kwa mufalme ili iamuliwe,+ Absalomu alikuwa anamuita na kusema: “Unatoka katika muji gani?” naye alikuwa anasema: “Mutumishi wako anatoka katika kabila moja kati ya makabila ya Israeli.” 3 Absalomu alikuwa anamuambia: “Angalia, malalamiko yako ni ya kweli na ya haki, lakini hakuna mutu kutoka kwa mufalme wa kusikia kesi yako ya hukumu.” 4 Absalomu alikuwa anasema: “Ingekuwa muzuri kama ningewekwa kuwa muamuzi katika inchi! Basi kila mutu mwenye kuwa na kesi ya hukumu ao hukumu angekuja kwangu, na ningehakikisha kwamba anatendewa haki.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine