Zaburi 18:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Kwa mwenye kuwa safi unajionyesha kuwa safi,+Lakini kwa mwenye kupotoka unajionyesha kuwa mwenye busara.+ Mezali 6:14, 15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Kwa moyo wenye kupotoka,Anafanya sikuzote mipango ya uovu+ na kueneza ugomvi.+ 15 Kwa hiyo, musiba wake utakuja bila kutazamia;Atavunjwa kwa kushitukia na hataweza kupona.+
26 Kwa mwenye kuwa safi unajionyesha kuwa safi,+Lakini kwa mwenye kupotoka unajionyesha kuwa mwenye busara.+
14 Kwa moyo wenye kupotoka,Anafanya sikuzote mipango ya uovu+ na kueneza ugomvi.+ 15 Kwa hiyo, musiba wake utakuja bila kutazamia;Atavunjwa kwa kushitukia na hataweza kupona.+