Mezali 12:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Mahangaiko katika moyo wa mutu yanalemea moyo,*+Lakini neno la muzuri linauchangamusha.+ Mezali 15:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Moyo wenye furaha unafanya sura ichangamuke,Lakini maumivu ya moyo yanaponda roho.+