Zaburi 104:35 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 35 Watenda-zambi wataisha katika dunia,Na waovu hawatakuwa tena.+ Acha nimusifu* Yehova. Mumusifu Yah!* Mezali 10:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Kumbukumbu la* mwenye haki litabarikiwa,+Lakini jina la muovu litaoza.+ Matayo 25:46 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 46 Hawa wataharibiwa* milele,+ lakini wenye haki wataingia katika uzima wa milele.”+
35 Watenda-zambi wataisha katika dunia,Na waovu hawatakuwa tena.+ Acha nimusifu* Yehova. Mumusifu Yah!*