Mezali 11:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Mutu mumoja anatoa kwa ukarimu* na kujikuta na vitu vingi zaidi;+Mwingine anaima wengine kile wanapaswa kupewa, lakini anakuwa maskini.+ Matayo 5:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 “Wenye furaha ni wale wenye rehema,+ kwa sababu wataonyeshwa rehema. Waebrania 6:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Kwa maana Mungu hana ukosefu wa haki ili asahau kazi yenu na upendo wenye mulionyesha kwa ajili ya jina lake+ kwa kutumikia na kuendelea kutumikia watakatifu.
24 Mutu mumoja anatoa kwa ukarimu* na kujikuta na vitu vingi zaidi;+Mwingine anaima wengine kile wanapaswa kupewa, lakini anakuwa maskini.+
10 Kwa maana Mungu hana ukosefu wa haki ili asahau kazi yenu na upendo wenye mulionyesha kwa ajili ya jina lake+ kwa kutumikia na kuendelea kutumikia watakatifu.