-
Nehemia 2:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Kisha nikamuambia mufalme: “Kama inamupendeza mufalme, ninaomba nipewe barua kwa ajili ya magavana wa eneo la Ngambo ya ule Muto,*+ ili waniruhusu nipite salama mupaka nifike Yuda, 8 na pia barua ya kumupelekea Asafu mutunzaji wa Bustani ya Mufalme,* ili anipatie miti kwa ajili ya nguzo za milango mikubwa ya Ngome+ ya Nyumba* na kwa ajili ya kuta za muji+ na kwa ajili ya nyumba yenye nitakaa ndani.” Kwa hiyo mufalme akanipatia barua hizo,+ kwa sababu mukono mwema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu.+
-