Zaburi 37:37 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 37 Angalia mutu mwenye hana lawama,*Na uendelee kumuangalia munyoofu,+Kwa maana wakati wenye kuja wa mutu huyo utakuwa wenye amani.+ Mezali 16:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Barabara kubwa ya watu wanyoofu inaepuka mambo ya mubaya. Kila mutu mwenye analinda njia yake analinda uzima wake.*+ 1 Petro 1:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Sasa kwa sababu mumejitakasa ninyi wenyewe* kwa utiifu wenu kwa ile kweli na hivyo mukakuwa na upendo wa kindugu+ wenye hauna unafiki, mupendane sana kutoka katika moyo.+
37 Angalia mutu mwenye hana lawama,*Na uendelee kumuangalia munyoofu,+Kwa maana wakati wenye kuja wa mutu huyo utakuwa wenye amani.+
17 Barabara kubwa ya watu wanyoofu inaepuka mambo ya mubaya. Kila mutu mwenye analinda njia yake analinda uzima wake.*+
22 Sasa kwa sababu mumejitakasa ninyi wenyewe* kwa utiifu wenu kwa ile kweli na hivyo mukakuwa na upendo wa kindugu+ wenye hauna unafiki, mupendane sana kutoka katika moyo.+