10 Nabali akajibu watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani, na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wengi wanatoroka mabwana wao.+ 11 Je, ninapaswa kukamata mikate yangu na maji yangu na nyama yenye nilichinjia wakata-manyoya wangu na kuvipatia watu wenye hata haijulikane kama wanatoka wapi?”